• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

Historia

Halmashauri ya Manispaa ya Lindi ni mojawapo kati ya miji mikongwe Tanzania. Ilianzishwa mnamo karne ya 11 na wafanyabiashara wa kiarabu. Kipindi cha ukoloni wa mwingereza, wafanyabiashara wa kihindi waliishi sehemu nyingi za mijini katika ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa mojawapo ni Lindi. Jina hili la Lindi maana yake ni SHIMO REFU, ilianzishwa miaka ya 1700 kama bandari ya kusafirisha watumwa na pembe za ndovu. Misafara ya watumwa kutoka Ziwa Nyasa iliishia katika bandari hii, Hadi miaka ya 1950 Lindi ilikuwa mahali pazuri kwa maisha ukianza na waarabu walioishi karne ya 18 wakifuatiwa na watu wa bara dogo la India, baadaye wakaja wajerumani hatimaye wakamalizia waingereza. Wakati wa nusu ya kwanza ya karne ya 20 nyumba nyingi za kuvutia zilijengwa katika mwambao wa Lindi.

Mji wa Lindi upo katika mdomo wa mto Lukuledi ukizungukwa na milima inayotazama bahari ya Hindi. Mtwara ikawa mji uliopoteza sifa ya Lindi kwa sababu ya kuwa na bandari muhimu na soko zuri katika mwambao wa Kusini, lakini bado sifa nzuri ya Lindi kuwa sehemu bora ya utalii inaendelea. Pamoja na kuwa na watu wachache wanaoweza kuzungumza lugha ya kiingereza, watu wengi ni wakarimu na wako tayari kusaidia kwa namna inavyohitajika na wageni.

Lindi Mjini ilikuwa kama kituo cha utawala kwa upande wa jimbo la Kusini hadi mwaka 1952 ambapo shughuli nyingi za utawala zilihamishiwa Mtwara. Kuhama kulitokana na hali nzuri ya bandari ya Mtwara na mazingira yenye ardhi nzuri ya Mtwara. Matokeo yake ikawa ni maendeleo duni ya kiuchumi na ukuaji mdogo wa idadi ya watu katika mji wa Lindi. Mwaka 1971 Lindi mjini ikawa makao makuu ya huduma za utawala na biashara hatimaye mji ukaanza kubadilika taratibu sana ambapo kiuhalisia mabadiliko hayo hayakuweza kuonyesha tofauti ya kuchochea ukuaji wa shughuli za kiuchumi.

Mwaka 1972, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianzisha sera ya kupeleka madaraka mikoani. Hii ikapelekea kufifisha ukuaji wa Halmashauri za mijini bali ilikazia maendeleo vijijini, hatimaye miundombinu na maendeleo ya mijini vikafifia. Hivyo Serikali ikarudisha tena Halmashauri za mijini. Kiujumla wakati wa utawala wa wakoloni mkoa wa Lindi, Mtwara na Ruvuma ilikuwa ni jimbo moja la Kusini. Baada ya uhuru utwala wa majimbo ukafa na kuundwa utawala wa mikoa. Lindi na Mtwara ikawa mkoa mmoja hadi mwaka 1971 ambapo Lindi na Mtwara ikawa mikoa ya kujitegemea kila mmoja na utawala wake.

Matangazo

  • USAJILI WA VIKUNDI VYA KIJAMII VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA MANISPAA YA LINDI April 09, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MAOMBOLEZO YA HAYATI DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KIMKOA LINDI

    March 25, 2021
  • HONGERA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    March 20, 2021
  • MATAPWA YAPATA ZAHANATI.

    March 10, 2021
  • KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA MANISPAA YA LINDI.

    March 08, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa