• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi yenye Rutuba
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
    • Uwepo wa Mashirika Binafsi
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Mipangomiji na Maliasili
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Ripoti ya Tovuti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Chumba cha Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio

Kupata leseni ya biashara

Ili kupata leseni ya Biashara unatakiwa kufanya yafuatayo:-

KWA MUOMBAJI MPYA

1. Fika ofisi za Biashara za Halmashauri kwa Afisa Biashara utajaza fomu ya kuomba leseni.

2. Utapewa maelekezo ya kwenda TRA kwa ajili ya kupata TIN namba na kufanya Tax Clearance

3. Ukishapata TIN utarudi tena kwa Afisa Biashara ukiwa na kopi ya TIN yako na utatengenezewa Bill ambayo utaenda nayo NMB kwa ajili ya kufanya malipo

4. Mara baada ya kulipa utarudisha nyaraka kwa mpokea fedha wa Halmashauri na kupewa Risiti ya Halmashauri

5. Rejesha risiti kwa Afisa Biashara ambapo yeye atakupatia Leseni yako ikiwa imekamilika.


KWA WANAOHUISHA LESENI ZAO

1. Nenda TRA kwa ajili ya kufanya Tax Clearance

2. Fika Ofisi za Biashara ukiwa na leseni yako ya zamani ili utendengenezewe Bill ili uende kulipia NMB

3. Mara baada ya kulipa utarudisha nyaraka kwa mpokea fedha wa Halmashauri na kupewa Risiti ya Halmashauri

4. Rejesha risiti kwa Afisa Biashara ambapo yeye atakupatia Leseni yako ikiwa imekamilika.


NB:

Unaweza kulipia Bill yako kwa kutumia huduma ya NMB Mobile kwa wateja wenye huduma hiyo Kupitia hatua zifuatazo:-

1. Piga  *150*66#

2. Ingiza Password

3. Chagua 5 - Malipo ya Bill

4. Chagua 8 - TAMISEMI

5. Chagua 2 - Lipia Bill

6. Ingiza namba ya malipo ambayo ni ndefu inaanzia na 2006.......

7. Itakuonesha Jina la Mteja na Deni lake

8. Chagua kulipia bill 

9. Thibitisha Malipo.

Matangazo

  • Bonanza la kuaga mwaka 2019 November 26, 2019
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MGAMBO September 06, 2019
  • TANGAZO LA KUPANDISHWA KWA GHARAMA ZA MATIBABU KWA WATUMIAJI WA PAPO KWA PAPO KATIKA MANISPAA YA LINDI August 07, 2019
  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUFANYIKA TAREHE 24/11/2019 November 22, 2019
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • CHF ILIYOBORESHWA YAZINDULIWA RASMI MKOANI LINDI

    December 04, 2019
  • ZIJUE FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI KATIKA MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOA WA LINDI

    November 29, 2019
  • ZOEZI LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MANISPAA YA LINDI

    November 24, 2019
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019-Mafunzo kwa Wasimamizi wasaidizi

    November 21, 2019
  • Ona Yote

Video

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • Sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Terms and Conditions
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2018 Manispaa ya Lindi. Haki Zote Zimehifadhiwa