• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

MKUU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI MEJA JENERALI IM MHONA ATEMBELEA MANISPAA YA LINDI

Imetumwa: January 13th, 2021

Mkuu wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa Meja Jenerali IM Mhona ametembelea Manispaa ya Lindi akiwa na baadhi ya washiriki katika ziara ya mafunzo kwa vitendo ikiwa na lengo na dhumuni la kujifunza kwa undani kuhusu Mkoa wa Lindi. Meja Jenerali amewapongeza viongozi wa Manispaa kwa mikakati na malengo mazuri yanayohakikisha maendeleo ya Manispaa na Mkoa kwa ujumla.

Meja Jenerali na washiriki wa mafunzo wa chuo cha Ulinzi walipata nafasi ya kutembelea baadhi ya maeneo katika Manispaa. Miongoni mwa maeneo waliyotembelea ni pamoja na Uwanja wa ndege (Kikwetu), Shule ya sekondari Lindi kuangalia ukarabati uliofanyika katika shule hiyo ambapo Meja Jenerali ameahidi kutoa kiasi cha fedha shilingi Millioni moja ili kusaidia utengenezaji wa viti na meza vya wanafunzi.

Pia walipata nafasi ya kutembelea Kituo cha Afya Mnazimmoja ambapo Mkuu wa Chuo ameupongeza uongozi wa Kituo kwa maendeleo makubwa waliyoyafikia hasa kwa huduma nzuri wanazozitoa. 

Vile vile alipata wasaa wa kutembelea Kikundi cha vijana cha Mitema ambapo aliwapongeza vijana hao kwa kazi nzuri wanayoifanya na aliwachangia kiasi cha pesa shilingi laki tano ili kiwasaidie kutatua changamoto ndogo ndogo zinazowakabili.

                                                                                                                                                                            

                     Meja Jenerali akimsalimia mzazi wodi ya akina mama waliojifungua alipotembelea kituo cha Afya Mnazimmoja.

                                                                                                                                                                                                 

                                                                      Mkuu wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa alipotembelea shule ya sekondari Lindi.    

                                                                                                                                           

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KATIKA MRADI WA MAJI RUTAMBA. January 07, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI June 10, 2020
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA June 25, 2020
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NA CHA NNE.

    January 15, 2021
  • MKUU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI MEJA JENERALI IM MHONA ATEMBELEA MANISPAA YA LINDI

    January 13, 2021
  • MKURUGENZI AAHIDI KUFANYA UKARABATI MASHULENI

    January 06, 2021
  • KITUO CHA AFYA MNAZIMMOJA KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa