• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi yenye Rutuba
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
    • Uwepo wa Mashirika Binafsi
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Mipangomiji na Maliasili
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Ripoti ya Tovuti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Chumba cha Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio

Vijana 120 wa Manispaa ya Lindi wanufaika na Mafunzo ya Kilimo cha Kitalu Nyumba

Imetumwa: July 22nd, 2019

Vijana 120 wafuzu mafunzo ya kilimo cha Kitalu Nyumba (greenhouse) kati ya tarehe 16/6/ na 27/6/2019.

Ofisi ya waziri Mkuu,Kazi,Vijana na wenye ulemavu imewezesha mafunzo ya kilimo cha kisasa, kilimo cha kitalu nyumba katika eneo la nanenane ndani ya viwanja vya maonesho Ngongo. Vijana 120 kutoka kata mbalimbali za Manispaa ya Lindi wamenufaika na mafunzo haya na kujipatia ujuzi wa kutosha wa kutumia teknolojia hii kuongeza kipato.

.    


Mafunzo haya yaliyotolewa na Seguco-Sokoine University Graduate Enterpreneurs Coorperative, wahitimu wa chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine.

Mafunzo haya yaliendeshwa kwa awamu mbili, awamu ya kwanza ikiwa ni namna ya ujengaji wa kitalu nyumba imara,kuweka miundombinu ya umwagiliaji  kwa ajili ya kilimo. hii ilikuwa ni Kuanzia tarehe 10-15/6/2019. Mafunzo ya kujenga kitalu  yalitolewa kwa vijana 20 (wanaume 13 na wanawake 7).

Awamu ya pili ya mafunzo ilihusisha kilimo chenyewe katika kitalu chumba.ikihusisha uandaaji  wa udongo,uchaguzi wa mbegu bora nk. hii likuwa kwa kipindi cha kuanzia tarehe 16 hadi 27 Juni 2019. Mafunzo ya kilimo kwa kitalu nyumba jumla vijana 120, wanawake 63,wanaume 57 yalitolewa. walijitokeza. lengo la awali la mfadhili wa mafunzo ambae ni ofisi ya waziri mkuu,kazi,vijana na wenye ulemavu ilikuwa ni kutoa ufadhili kwa vijana 100 pekee.lakini mwitikio wa jamii ulikuwa mkubwa kiasi cha kwamba vijana 20 zaidi waliongezeka hawa walifadhiliwa na Mkurugenzi wa Manispaa ili wasipitwe na fursa hio muhimu.


  



Matangazo

  • Bonanza la kuaga mwaka 2019 November 26, 2019
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MGAMBO September 06, 2019
  • TANGAZO LA KUPANDISHWA KWA GHARAMA ZA MATIBABU KWA WATUMIAJI WA PAPO KWA PAPO KATIKA MANISPAA YA LINDI August 07, 2019
  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUFANYIKA TAREHE 24/11/2019 November 22, 2019
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • CHF ILIYOBORESHWA YAZINDULIWA RASMI MKOANI LINDI

    December 04, 2019
  • ZIJUE FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI KATIKA MWONGOZO WA UWEKEZAJI MKOA WA LINDI

    November 29, 2019
  • ZOEZI LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MANISPAA YA LINDI

    November 24, 2019
  • UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019-Mafunzo kwa Wasimamizi wasaidizi

    November 21, 2019
  • Ona Yote

Video

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • Sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Terms and Conditions
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2018 Manispaa ya Lindi. Haki Zote Zimehifadhiwa