• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
  • E-Learning
    • Joining instructions form
    • past papers
    • Notes

ZIARA YA MHE. DAVID SILINDE, NAIBU WAZIRI-OR TAMISEMI KATIKA MANISPAA YA LINDI

Imetumwa: February 22nd, 2021

Katika siku ya nne na ya mwisho ya ziara yake mkoani Lindi, Mhe. Naibu Waziri OR-TAMISEMI amefanya ziara katika Manispaa ya Lindi.Akiwa Manispaa ya Lindi, Mhe. Naibu Waziri amekagua maendeleo ya ujenzi wa miundombinu ya shule mbili, ukarabati wa shule kongwe ya  Sekondari Lindi, kukagua karakana ya utengenezaji samani za shule iliyomilikiwa na Manispaa ya Lindi, na kukagua mradi wa mabasi unaomilikiwa na kikundi cha vijana kilichonufaika na mkopo kutokana na mapato ya ndani (10% ya mapato ya ndani).Mhe. Naibu Waziri amepongeza kazi kubwa na nzuri iliyofanyika katika kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati kama ilivuyoelekezwa na thamani ya fedha iliyotumika inaonekana.

Aidha, Mhe .Naibu Waziri amezielekeza Halmashauri zote nchini kuiga ubunifu mzuri uliotumika katika Manispaa ya Lindi kwa kuanzisha karakana (viwanda vidogo) kwa ajili ya kutatua changamoto ya samani za shule ikiwemo viti na meza.

Naibu Waziri wa elimu OR-TAMISEMI akisikiliza maelezo ya utendajikazi wa karakana iliyobuniwa na Halmashauri ya Manispaa ya Lindi.

 Mhe. Naibu Waziri amemaliza ziara yake Mkoani Lindi na kuelekea Mtwara.

Matangazo

  • USAJILI WA VIKUNDI VYA KIJAMII VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA MANISPAA YA LINDI April 09, 2021
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MAOMBOLEZO YA HAYATI DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KIMKOA LINDI

    March 25, 2021
  • HONGERA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    March 20, 2021
  • MATAPWA YAPATA ZAHANATI.

    March 10, 2021
  • KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA MANISPAA YA LINDI.

    March 08, 2021
  • Ona Yote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Jomaary Satura azungumzia ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba 2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa