• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi yenye Rutuba
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
    • Uwepo wa Mashirika Binafsi
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Mipangomiji na Maliasili
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Ripoti ya Tovuti
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Chumba cha Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Tukio

Mtandao wa barabara

Mtandao wa barabara katika Manispaa ya Lindi ni wa uhakika na unapitika kipindi chote cha mwaka. Usafirishaji wa mazao ya chakula na bidhaa nyingine hadi kulifikia soko ni wa uhakika. Halmashauri ya Manispaa inaendelea kuboresha mtandao wa barabara kwa kufungua barabara zingine katika maeneo ya nje na mji ili kurahisisha zaidi usafirishaji wa mazao ya kilimo. Kwa sasa changamoto iliyopo katika sekta ya usafirishaji wa bidhaa kutoka Dar es salaam hadi Lindi kwa njia ya barabara inaendelea kupatiwa ufumbuzi baada ya muda mfupi ujao inategemewa kukamilika kwa ujenzi wa barabara hiyo ambayo huleta usumbufu msimu wa mvua. Ni mategemeo ya Halmashauri kuwa baada ya kumalizika kwa ujenzi wa barabara hiyo itakuwa fursa kubwa kwa Halmashauri kutanua mtandao wa soko la wafanyabiashara kutoka Mikoa mingine ambapo itarahisisha zaidi upatikanaji wa bidhaa na kuongeza mzunguko wa pesa katika Manispaa ya Lindi. Hadi sasa Halmashauri ina mtandao wa barabara wenye urefu wa kilomita 518.80 na ni mategemeo ya Halmashauri kuweza kuongeza urefu huo mara mbili zaidi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHANNE 2018 January 24, 2019
  • MATOKEO YA SEKONDARI YA MWAKA 2018 January 10, 2019
  • TANGAZO LA KAZI, DATA MANAGER January 17, 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019 December 17, 2018
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA UJASIRIAMALI

    January 28, 2019
  • WALIMU WAWEZESHWA JUU YA UINGIZAJI WA TAARIFA ZA SHULE

    January 25, 2019
  • KAMATI YA FEDHA YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MIRADI

    January 18, 2019
  • TUMIENI FURSA KUONGEZA MAPATO,MHESHIMIWA MOHAMED LIHUMBO

    October 30, 2018
  • Ona Yote

Video

Naibu Waziri OR-TAMISEMI Mhe. Joseph Kakunda akifunga maonyesho ya Nane Nane kanda ya kusini
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • Sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255767042958

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Terms and Conditions
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2018 Manispaa ya Lindi. Haki Zote Zimehifadhiwa