Wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ni:
Idd Ngunde
Majukumu ya Kamati:
1. Kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazo na/au nyenzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume za kudhibiti UKIMWI;
2. Kusimamia uundaji wa Kamati zote za kudhibiti UKIMWI;
3. Kupendekeza na kuchambua hali ya UKIMWI/Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husuka kwa hatua zaidi;
4. Kutathmini hali ya UKIMWI katika eneo lake;
(i) Idadi ya waathirika: wagonjwa, yatima, wajane,
(ii) Kasi ya maambukizo.
(iii) Mazingira maalum yanayochangia maambukizo.
(iv) Uelewa wa wananchi juu ya janga hili.
(v) Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI.
(vi) Kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule anafanya hivyo.
(vii) Kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya.
(viii) Kubuni na kupendekeza njia bora za kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko.
(ix) Kupendekeza Sheria Ndogo za Kamati hii.
Municipal Director
Anuani ya Posta: 1070 Lindi
Simu: +255232202164
Simu ya mkononi: +255717469888
Barua Pepe: info@lindimc.go.tz
Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa