• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

Mazingira na Usafi

Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka Ngumu ni moja kati ya Idara 13 ndani ya Manispaa ya Lindi ambayo kimsingi majukumu yake yamegawanyika katika sehemu zifuatazo:-

  • Kusimamia Udhibiti wa taka ngumu (Proper solid waste management).
  • Kusimamia Uhifadhi na udhibiti wa Mazingira (Environmental management and conservation).
  • Kusimamia Upendezeshaji wa Mji (Environmental Beatification).
  • Kusimamia Sheria (Law enforcement).

Majukumu ya idara

1.Kusimamia Udhibiti wa taka ngumu (Solid waste management).

  • Ukusanyaji wa taka ngumu
  • Uhifadhi wa taka ngumu: Kuhimiza wananchi kuwe na dust bins. Halashauri imejenga vimba 11 na kununua tela 5 za kuhifadhia taka ngumu
  • Usafirishaji wa taka ngumu: Halmashauri ina roli FAW tan 19, roli isuzu tani 10 na trekta kwa ajili ya kusafirisha taka ngumu.
  • Utupaji wa taka ngumu: Halmashauri ina dampo kuu Kilometa 6 toka katika ya Mji kwa ajili ya uteketezaji wa taka ngumu.

TAKWIMU ZA UDHIBITI WA TAKA NGUMU MANISPAA YA LINDI

MWAKA

IDADI YA WATU

UZALISHAJI WA TAKA KWA SIKU

KUSANYWA NA KUTUPWA KWA SIKU

2019 February

92,453

Tani 46

Tani 31

67%

2020 March

94,462

Tani 47

Tani 34

72%

2021 Februari

118,292 (Ongezeko na jimbo la mchinga)

Tani 59

Tani 46

78%


2.Kusimamia Uhifadhi na Udhibiti wa Mazingira (Environmental management)

  • Upandaji wa miti kuzuia mmomonyoko. Maeneo ya kandokando ya bahari na maeneo ya hifadhi maalumu.
  • Kusimamia uchimbaji wa madini: madini mchanga maeneo ya Mitwero, Mbanja, Jamhuri na Mtanda.

3.Kusimamia upendezeshaji wa Mji (Environmental beautification)

  • Upandaji wa maua na upakaji wa rangi majumba.
  • Kuimarisha bustani za maua kwenye maeneo ya wazi ie round about, kando ya barabara nk

4.Kusimamia sheria (Law enforcement)

  • Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004
  • Sheria ya afya Jamii ya mwaka 2009
  • Udhibiti wa mifuko ya plastiki

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA MINAZI. June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • RASIMU YA SHERIA NDOGO KUANZISHA BODI YA MFUKO WA ELIMU MANISPAA. June 08, 2021
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI TASAF. July 05, 2021
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA LINDI YAENDELEA KUPATA HATI ISIYO NA MASHAKA

    June 27, 2022
  • LINDI KINARA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA.

    June 16, 2022
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI.

    June 14, 2022
  • MANISPAA YA LINDI YANG'ARA.

    June 10, 2022
  • Ona Yote

Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akishiriki katika ujenzi wa kituo cha afya Mvuleni.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa