• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya manispaa ya lindi
Halmashauri ya manispaa ya lindi

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya manispaa ya lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Lengo

Kukuza mabadiliko na maendeleo ya kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi. idara inaafanya kazi zifuatazo:-

  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na Udhibiti wa kilimo, umwagiliaji, Mifugo na Uvuvi;
  • Kupendekeza viwango na bei za bidhaa na huduma zitokanazo na kilimo, mifugo na uvuvi;
  • Kuandaa mipango na programu fupi na ndefu za maendeleo ya kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi;
  • Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika katika Halmashauri;
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wadau wanaohusika na kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi;
  • Kuandaa taarifa za kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi; na
  • Kusimamia ukusanyaji na udhibiti wa mapato ya shughuli za kilimo, umwagiliaji, mifugo na uvuvi.

Idara hii inaongozwa na Mkuu na inajumuisha Sehemu tatu (3): -

  • Sehemu ya Kilimo;
  • Sehemu ya Mifugo; na
  • Sehemu ya Uvuvi.

Sehemu ya Kilimo

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutayarisha na kutekeleza programu za usambazaji wa mbolea katika maeneo mbalimbali ya mauzo;
  • Kuandaa programu za kupanga na kuhifadhi pembejeo za kilimo;
  • Kufanya uchunguzi wa udongo wa sampuli za shamba la mkulima na ushauri ipasavyo;
  • Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu, utunzaji baada ya mavuno, usindikaji wa mazao ya kilimo na uongezaji thamani wa mazao ya kilimo;
  • Kukadiria mavuno/uzalishaji wa mazao muhimu;
  • Kufanya kazi za takwimu na sensa ya kilimo;
  • Kufanya maonyesho ya majaribio ya majaribio ya aina mbalimbali na mbolea kutoka kwa sehemu ya Halmashauri nzima;
  • Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika;
  • Kuratibu uwekaji hifadhi ya hatua za ulinzi wa mbolea/mimea katika ngazi ya kijiji;
  • Kuandaa kambi za mafunzo kwa wakulima katika ngazi ya kijiji;
  • Kutayarisha na kutekeleza mpango wa mseto wa mazao hasa kwa maeneo ya umwagiliaji kwenye vitalu;
  • Kutekeleza Programu ya Maendeleo ya Bayogesi;
  • Kupanga, kubuni, kujenga na kudumisha skimu za umwagiliaji;
  • Kuwezesha uundaji wa mashirika ya wamwagiliaji na kuhakikisha kuwa mashirika yanapewa ujuzi unaohitajika kwa ajili ya usimamizi bora na endelevu wa umwagiliaji;
  • Kusaidia utungaji na utekelezaji wa sheria ndogo za umwagiliaji na Chama cha Wamwagiliaji katika maeneo yao; na
  • Kutoa huduma za mrejesho kwa wakulima katika skimu ya umwagiliaji kwa kuanzisha timu za usimamizi wa skimu za umwagiliaji.

 Sehemu ya Mifugo

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za Mifugo;
  • Kuandaa mpango na programu ya muda mfupi na mrefu ya kuendeleza mifugo;
  • Kutathmini uhifadhi na matumizi ya rasilimali za mifugo;
  • Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika;
  • Kutoa msaada wa kiufundi kwa wadau wa sekta ya mifugo; na
  • Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusu mifugo.

Sehemu ya Uvuvi

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za uvuvi;
  • Kuandaa mpango na programu ya muda mfupi na mrefu kwa ajili ya kuendeleza rasilimali za uvuvi;
  • Kutathmini uhifadhi na matumizi ya rasilimali za uvuvi;
  • Kusimamia uendelezaji na utawala bora wa vyama vya ushirika
  • Kutoa msaada wa kiufundi kwa wadau wa sekta ya uvuvi; na
  • Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusika na uvuvi

Matangazo

  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU WA RAIS WABUNGE NA MADIWANI 2025 TANZANIA BARA.. October 19, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KIKWETU WASAINI MIKATABA YA ULIPAJI FIDIA KUPISHA UJENZI WA CHUO CHA BAHARI.

    February 10, 2026
  • SHUKRANI NA BURUDANI: IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE YAFUNGA MWAKA KWA SHEREHE NGUDU BEACH RESORT

    February 08, 2026
  • IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE YAKAMILISHA MWAKA 2025 KWA BONANZA LA MICHEZO NGUDU BEACH RESORT

    February 07, 2026
  • MHE. VICTORIA MWANZIVA AHAMASISHA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI MKWAJUNI, LINDI.

    February 07, 2026
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa

  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88