• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

MANISPAA YA LINDI YANG'ARA.

Imetumwa: June 10th, 2022

Halmashauri 4 zanufaika na Shilingi Bil. 4.1 za kupanga,kupima na kumilikisha ardhi.

Asila Twaha , OR – TAMISEMI

Serikali imetoa kiasi cha shilingi billion 4.1 kwa Halmashauri nne zilizokidhi vigezo kuendeleza programu ya kupanga, kupima na kumilikisha ardhi nchini.

Hafla ya utiaji wa saini wa mikataba ya fedha umefanyika Juni 10, 2022 Jijini Dodoma.

Halmashauri zilizokidhi Vigezo hivyo ni Manispaa ya Kigamboni, Halmashauri ya Wilaya Kishapu, Manispaa ya Lindi na Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa(afya)Dkt. Grace Magembe amesema, fedha hizi ni muendelezo wa  awamu ya pili kwa Serikali kuzitoa kwa Halmashauri lengo likiwa Halmashauri kuzitumia kama ambavyo zilivyoelekezwa katika mikataba.

Amesema Halmashauri nyingi bado kuna changamoto ya ardhi kwa kutokupangwa na hii hupelekea kutokea kwa migogoro kati ya wananchi na Halmashauri kitu kinachosababisha kuzorotesha ukusanyaji wa mapato ya Serikali.

“Ardhi ikipimwa wananchi wakijenga

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 08, 2022
  • TAARIFA KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA KADA YA ELIMU NA AFYA 2022 July 01, 2022
  • TANGAZO LA SIKU MAALUM YA KUMPONGEZA MHE. RAIS June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA MINAZI. June 20, 2022
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Watumishi wa ajira mpya wapatiwa mafunzo ya awali

    August 13, 2022
  • VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA 2022

    July 27, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA DHIDI YA UPOTOSHAJI

    July 26, 2022
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA LINDI WAADHIMISHA SIKU YA KUMBUKIZI YA MASHUJAA KWA KUFANYA USAFI

    July 25, 2022
  • Ona Yote

Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akishiriki katika ujenzi wa kituo cha afya Mvuleni.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa