• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

MKUU WA WILAYA ATOA SIKU SABA ILI KUONGEZA KASI KWENYE MIRADI YA UJENZI.

Imetumwa: May 9th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Shaibu Ndemanga ametoa siku saba kwa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kuhakikisha miradi yote inaendelea kwa kasi,kwani imeonekana kusuasua.Ameyasema hayo leo kwenye kikao kazi kilichojumuisha Manispaa ya Lindi na Halmashauri ya Mtama kilichofanyika ukumbi wa Mikutano wa Mkurugenzi wa Manispaa.

Aidha,amewataka wataalamu wanaohusika na miradi hiyo kuhakikisha wanasimamia vyema miradi hiyo huku ikikidhi ubora na viwango vinavyotakiwa kwa majengo ya serikali huku ikiendana na thamani ya fedha inayotolewa kutekeleza miradi hiyo.

Vilevile,Ndemanga amemuagiza Mkurugenzi kuteua wahandisi watakaokuwa wanakaa kwenye miradi muda wote wa utekelezaji wa miradi hiyo mpaka itakapokamilika lakini pia kupatiwa taarifa za miradi hiyo kila siku jioni ili aweze kujua maendeleo na kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Mkuu wa Wilaya amewataka watumishi kutokufanya biashara kama wazabuni na Manispaa kwani inawafanya kuwa bize na biashara zao binafsi na kuacha kufanya kazi za serikali walizopangiwa.

Mkurugenzi wa Manispaa Ndugu Juma Mnwele ameahidi kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Wilaya na kutoa ushirikiano wa kutosha wakati wote.Pia amesisitiza watumishi kuacha kufanya biashara na Manispaa kitu ambacho kinapelekea wafanyabiashara wenye kampuni kutokufanya biashara.

Mnwele amewataka watumishi wa idara na vitengo vinavyohusika na utekelezaji wa miradi hiyo kubadilika lakini pia kufanya kazi kwa bidii na nidhamu ili kuhakikisha miradi hiyo inasimamiwa vyema lakini pia kujengwa kwenye ubora unaotakiwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA MINAZI. June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • RASIMU YA SHERIA NDOGO KUANZISHA BODI YA MFUKO WA ELIMU MANISPAA. June 08, 2021
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI TASAF. July 05, 2021
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA LINDI YAENDELEA KUPATA HATI ISIYO NA MASHAKA

    June 27, 2022
  • LINDI KINARA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA.

    June 16, 2022
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI.

    June 14, 2022
  • MANISPAA YA LINDI YANG'ARA.

    June 10, 2022
  • Ona Yote

Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akishiriki katika ujenzi wa kituo cha afya Mvuleni.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa