• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Municipal Council
Lindi Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

RC LINDI ASISITIZA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI JANUARY.

Imetumwa: December 20th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Zainab amesisitiza wazazi kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti shuleni ifikapo  January 17/2022. RC Amesema “Watoto walikuwa wanabanana kwenye madarasa huko lakini Mhe. Rais akasema nataka watoto wasibanane lakini wasome vizuri waweze kufaulu vizuri ameleta fedha hizo ni nyingi Mkoa wetu pekeake tumepokea bilioni 8 na point.  Kwahiyo niwaombe sasa wazazi tumejenga madarasa tumekamilisha tumetengeneza madarasa mazuri January watoto wanakuja kusoma naomba watoto wote watakaochaguliwa waje wakasome na kila mzazi naomba akawe mlinzi na mzazi mwenzie”. RC ametaka pia watoto walioolewa warudishwe nyumbani ili wakasome.

 Ameyasema hayo leo alipokuwa akikabidhiwa madarasa 56 yaliyojengwa kwa pesa za mkopo kutoka IMF kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Shule ya Sekondari ya Mingoyo imetumika kuwakilisha ujenzi wa madarasa yote 56.

Ujenzi wa madarasa hayo umegharimu kiasi cha fedha Bilioni 1,120,000,000/= kwa mchanganuo ufuatao milioni 420 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 21 shule shikizi 8[elimu msingi] na milioni 700 shule za sekondari 14 ujenzi wa madarasa 35 kwa kila darasa shilingi milioni 20,000,000/=.

Mkuu wa mkoa kwa kipekee amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha hizo za ujenzi Mkoani Lindi lakini pia amewashukuru wananchi kwa kazi kubwa waliyoifanya  katika kutekeleza ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa 56 lakini pia kuendelea na moyo huo kwa miradi mingine inayokuja.

Aidha,Mkuu wa Wilaya Ndugu Shaibu Ndemanga alipata wasaa wa kutoa taarifa fupi kwa Wilaya ya Lindi ambapo amesema mpaka kufikia leo ujenzi umekamilika kuna bakaa ya kiasi cha fedha milioni 33,204,982.37/= ambapo kupitia nguvu ya wananchi imeweza kuokoa kiasi hiko cha fedha.

DC ameahidi kuwa wakati mwingine watatumia kiasi kidogo cha fedha kukamilisha miradi, Kwani kupitia miradi hii wamejifunza kuwa inawezekana.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • FURSA ZA UWEKEZAJI MANISPAA YA LINDI January 27, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA KUNUNUA KIWANJA January 27, 2021
  • Semina ya uchaguzi kwa walioteuliwa kuwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na karani waongozaji October 15, 2020
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA LINDI YAZINDUA KAMPENI CHANJO YA POLIO.

    May 18, 2022
  • MHE.KASPAR KASPAR MMUYA AIPONGEZA MANISPAA YA LINDI UFANIKISHAJI WA ANWANI ZA MAKAZI.

    May 16, 2022
  • MKUU WA WILAYA ATOA SIKU SABA ILI KUONGEZA KASI KWENYE MIRADI YA UJENZI.

    May 09, 2022
  • LINDI YAPEWA KIPAUMBELE MALIASILI NA UTALII.

    May 02, 2022
  • Ona Yote

Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akishiriki katika ujenzi wa kituo cha afya Mvuleni.
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Municipal Director

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa