• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya manispaa ya lindi
Halmashauri ya manispaa ya lindi

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa Halmashauri ya manispaa ya lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Idara ya Elimu ya Awali na Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Sekondari
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Huduma za Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Biashara,Viwanda na Uwekezaji
      • Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi na Maendeleo ya Miundombinu Vijijini na Mjini
      • Idara ya Maendeleo ya jamii
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwimu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Mtandao wa Barabara
    • Maliasili
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba za vikao
    • Ratiba ya kuonana na Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Joining instructions forms
  • E-Learning
    • past papers
    • Notes

Viwanda, Uwekezaji na Biashara

Lengo

Kuweka mazingira mazuri ya biashara kwa maendeleo ya viwanda, biashara, masoko na uwekezaji. Idara inafanya kazi zifuatazo:-

  • Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu zinazohusiana na viwanda, biashara, masoko na uwekezaji;
  • Kukuza viwanda, biashara, masoko na uwekezaji katika Halmashauri;
  • Kupanga na kuendeleza maeneo ya viwanda na hifadhi kwa kushirikiana na wadau wengine wakuu;
  • Kupanga vivutio vya viwanda, biashara, masoko na kukuza uwekezaji;
  • Kukuza maendeleo ya Biashara Ndogo na za Kati (SMEs);
  • Kuendeleza mapendekezo na miradi ya uwekezaji;
  • Kuendeleza hatua za maendeleo ya sekta binafsi;
  • Kuanzisha na kusimamia kanzidata ya viwanda, biashara, masoko na uwekezaji;
  • Kusimamia usimamizi wa kituo kimoja cha biashara;
  • Kufanya utafiti wa kukuza uwekezaji;
  • Kuratibu Jukwaa la Biashara;
  • Kusimamia shughuli za minada na masoko katika Halmashauri;
  • Kutekeleza Mkakati wa Maendeleo ya Biashara kwa wafanyabiashara wadogo na watoa huduma; na
  • Kuweka Mazingira bora ya Biashara na uwekezaji ili kukuza Biashara na Uwekezaji.

Idara hii inaongozwa na Mkuu na inajumuisha Sehemu mbili (2) kama ifuatavyo:-

  • Sehemu ya Maendeleo ya Viwanda na Uwekezaji; na
  • Sehemu ya Biashara na Masoko.

Sehemu ya Maendeleo ya Viwanda na Uwekezaji

Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kuratibu utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za sekta ya viwanda na uwekezaji;
  • Kukuza na kuratibu utekelezaji wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi;
  • Kutenga, kuendeleza na kufuatilia maeneo ya viwanda na hifadhi;
  • Kutoa ushauri kuhusu uboreshaji wa sera za Viwanda na kuratibu mikutano ya kisekta;
  • Kukuza uzalishaji wa malighafi mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya viwandani;
  • Kutayarisha na kutunza rejista za viwanda na vitega uchumi;
  • Kupanga na kukadiria ushuru kwa viwanda vidogo;
  • Kuendeleza na kupitia upya wasifu wa uwekezaji;
  • Kukuza uwekezaji wa sekta binafsi;
  • Kuratibu na kutoa ushauri kwa wawekezaji; na
  • Kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.

Sehemu ya Biashara na Masoko

Sehemu itafanya shughuli zifuatazo; -

  • Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria, kanuni na taratibu za biashara na masoko;
  • Kutoa ujuzi wa ujasiriamali kwa jumuiya ya wafanyabiashara;
  • Kuratibu na kutoa ushauri kuhusu shughuli za usajili wa biashara;
  • Kuchambua taarifa za biashara na masoko na ushauri ipasavyo;
  • Kuratibu kongamano la Baraza la Biashara la Wilaya;
  • Kukuza ubia wa sekta binafsi ya umma;
  • Kusimamia shughuli za minada na masoko katika Halmashauri; na
  • Kukusanya na kusambaza taarifa za masoko ya bidhaa na huduma kwa wahusika;
  • Kutekeleza Mkakati wa Kukuza Biashara kwa wachuuzi wadogo na watoa huduma za biashara ndogo ndogo; na
  • Kuweka Mazingira Bora ya Biashara

Matangazo

  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU WA RAIS WABUNGE NA MADIWANI 2025 TANZANIA BARA.. October 19, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA October 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI. October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA. September 15, 2025
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KIKWETU WASAINI MIKATABA YA ULIPAJI FIDIA KUPISHA UJENZI WA CHUO CHA BAHARI.

    February 10, 2026
  • SHUKRANI NA BURUDANI: IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE YAFUNGA MWAKA KWA SHEREHE NGUDU BEACH RESORT

    February 08, 2026
  • IDARA YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA LISHE YAKAMILISHA MWAKA 2025 KWA BONANZA LA MICHEZO NGUDU BEACH RESORT

    February 07, 2026
  • MHE. VICTORIA MWANZIVA AHAMASISHA UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI MKWAJUNI, LINDI.

    February 07, 2026
  • Ona Yote

Video

NENO LA DC MWANZIVA KWENYE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI HALMASHAURI YA MANISPAA LINDI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Zabuni
  • sheria mbalimbali
  • Ratiba za vikao
  • Orodha ya Madiwani
  • Mikakati ya Halmashauri
  • Historia ya Manispaa ya Lindi
  • Miradi inayoendelea
  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • OR - TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa

    Anuani ya Posta: 1070 Lindi

    Simu: +255232202164

    Simu ya mkononi: +255717469888

    Barua Pepe: info@lindimc.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Vigezo na Masharti
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2020 Manispaa ya Lindi. Haki zote zimehifadhiwa

  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88